Viwanja vinauzwa Mbezi Luguruni, Dar Es Salaam (504 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π VIWANJA VINAUZWA β MBEZI LUGURUNI MANISPAA YA UBUNGOπ‘
β
Ukubwa: SQM 504, 476, 478
β
Kipo umbali wa dakika 5 kutoka Kituoni Morogoro Road
β
Eneo zuri na linalokua kwa kasi
β
Umeme na maji vyote vipo jirani
Kiwanja hiki kinafaa sana kwa makazi binafsi kwa wanaohitaji eneo lenye nafasi ya kutosha kwa familia. Pia ni chaguo bora kwa wawekezaji, kwani ukubwa wake unaruhusu ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye nafasi nzuri ya maegesho na huduma nyingine muhimu.
π° Bei: Milioni 35 kwa kila kiwanja
π +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
π΅ Service Charge: 30,000/=
Karibu ndugu mteja tufanye biashara.
Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!! π β¨















