Tafuta

Viwanja vinauzwa Mbezi Luguruni, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

Maelezo

MRADI NZURI SANA WA VIWANJA ULIOPO KARIBU NA MOROGORO ROAD UNAUZWA HAPA MBEZI LUGURUNI ILIPO MANISPAA YA UBUNGO UPANDE WA LAPAZ

Vilikua Viwanja tisa vimeondoka viwili vimebaki vichache watu wanavichangamkia

Changamkia fursa ndugu mteja

Barabara inafikika vizuri kabisa

Kwa wale waliokua wanataka Viwanja karibu na barabara hivi hapa sasa

Kuna SQMT 679,514,539,478,688,504,405, na 739

Bei ni Mil 35 vya mwanzoni juu na Mil 25 na 15 vya pembeni kidogo

Service charge 50,000 ya kupelekwa kwenye Viwanja na kutafutiwa mpaka upate na inalipwa mara moja tu

Contact:

0790480030
0662715781