Viwanja vinauzwa MWASONGA, Dar Es Salaam (400 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
Sh. 25,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Ukubwa

400 SQM

Barabara ya Karibu

1km

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara

Maelezo

‼️OFA YA SIKUKUU YA PASAKA‼️
📍KIGAMBONI MWASONGA

🔑 Sifa za Mradi

🔹Umbali wa 1KM tu kutoka barabara kuu mpaka site.
🔹Barabara nzuri na za kufikika kwa urahisi.
🔹Eneo lenye makazi ya watu tayari.
🔹Mji unaokua kwa kasi na kuongezeka kwa thamani ya ardhi kila siku.

✅ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana karibu🏡

🔥HAKUNA TENA MALIPO YA KUANZA NA 10% BADALA YAKE MALIPO NI FLAT RATE NDANI YA MIEZI 18🔥

💰 BEI

🔹 Malipo ya CASH
• Bei: 25,000/= kwa sqm
• Kiwanja cha sqm 400
400 x 25,000 =10,000,000
• Unaweza kulipa kwa mkupuo au kwa miezi 3:
➡️ 3,333,333 kila mwezi

🔹 Malipo ya INSTALLMENT
• Bei: 30,000/= kwa sqm
• Kiwanja cha sqm 400
400 x 30000=12,000,000
• Unaaanza na malipo ya TZS 666,667 kila mwezi kwa miezi 18.

MAWASILIANO
☎️0675557452