Viwanja vinauzwa Mwasonga, Dar Es Salaam (500 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
Hapa ndipo! 📍 Kigamboni Mwasonga - eneo linalokua kwa kasi sana!
✅ Ukubwa: Kutoka 500sqm kuendelea
✅ Nyaraka: Hati Safi / Mkataba wa Mauzo
✅ Umbali: Dakika 15 kutoka Ferry, karibu na barabara kuu
✅ Bei: Kuanzia Tsh 8 Milioni tu! Bei inafunguka
✅ Maji na Umeme: Karibu na eneo
💡 Faida ya Kununua Sasa:
Kigamboni ndio Dar es Salaam mpya. Bei zimepanda mara 3 miaka 3 iliyopita. Ukinunua leo, mwaka ujao unauza kwa faida.
WhatsApp 0755021999
Call 0787231999
#ViwanjaVinauzwa #PlotsForSale #ArdhiInauzwa #RealEstateTZ #PropertyTZ LandForSale InvestmentTZ FursaYaKuwekeza







