Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Kimara Temboni, Dar Es Salaam (2000 sqm)

Aina
Kiwanja (Residential/Commercial)
Ukubwa
2000 SQM
Barabara ya Karibu
500m — Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA SQM.2,000,TZS.160 MILIONI,
KIMARA TEMBONI.
Hapa utaamua wewe;
Aidha uweke Makazi yako tulivu ya kujinafasi,
Au tena Ywekeze Kibiashara kama Apartments
Nyumba ya Wageni nk.
Eneo lipo umbali wa mita 500 tu kutoka Barabara ya Morogoro.
Mtaa umejengeka kwa nyumba kisasa.
WAHI, VIZURI HAVIKAI.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________rut















