Tafuta
-
-

Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Kinyerezi, Ulongoni B, Dar Es Salaam (4274 sqm)

video thumbnail
Sh. 190,000,000

Aina

Kiwanja (Residential/Commercial)

Ukubwa

4274 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara
Has4houses

Maelezo

HAPA NI FURSA ADIMU KWA WAWEKEZAJI πŸ”₯

Heka 1 inauzwa Kinyerezi, Ulongoni B ikiwa na nyumba 4 tayari ndani yake 🏑

πŸ“ Ukubwa: SQM 4,274
πŸ’° Bei: Milioni 190 (mazungumzo yapo)
πŸ“ Dakika 0 kutoka main road – upo kabisa barabarani

βœ”οΈ Inafaa kwa uwekezaji (apartments, lodge, au kupangisha)
βœ”οΈ Panafaa kwa ufugaji πŸ„πŸ“
βœ”οΈ Nzuri kwa frame za biashara au maduka πŸͺ
βœ”οΈ Inafaa kwa ofisi au matumizi mengine ya kibiashara

πŸ“ž Muhitaji piga: +255 688 412 890

FURSA HAIJI MARA MBILI (na hii ni fursa haswa).