Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Magereza, Moshi, Kilimanjaro (3445 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐Habari ndugu mteja wa viwanja hapa Moshi mjini ... ๐Kiwanja chenye ukubwa wa 53x65 mita kinauzwa, kiko maeneo ya Magereza, Moshi kikipakana na kiwanda cha viatu na redio Kicheko. Eneo hili linaweza kutumika kwa makazi au biashara. Kimezungushiwa fensi ya waya, na kina geti na barabara. Pia kuna msingi imara wa nyumba ya kisasa yenye vyumba vitatu self na sebule na dining. Ramani pia ipo ya Nyumba.Pia kuna maji yameunganishwa tayari na umeme upo karibu nguzo moja tu. ๐Documents zipo na kina tambulika kisheria ๐Bei ya muuzaji ni mil.90 Bei ya mazungumzo na muuzaji , gharama za kuona Kiwanja ni 20,000 ambazo ni site visits . ๐karibu ndugu mteja ujipatie viwanja vya MAKAZI na BIASHARA Moshi . ๐๐0672701329๐๐ #viwanjabeipoa #dalalimoshi_viwanja #trendingvideo #makazi #viralreeฤบs















