Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (850 sqm)
Aina
Kiwanja (Residential/Commercial)
Ukubwa
850 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
š” VIWANJA VINAUZWA ā TABATA SEGEREA š”
Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba yako au kuwekeza? Hii ndiyo fursa yako!
š Eneo: Tabata Segerea
ā
Viwanja 2 vinauzwa (vyote ni vya mmiliki mmoja)
š Ukubwa: SQM 850 kila kiwanja
š° Bei: TSh Milioni 45 kila kiwanja
Sifa za viwanja:
āļø Vinatazama barabara ya mtaa
āļø Mazingira mazuri na tayari yamejengeka
āļø Takribani kilomita 1 kutoka barabara ya lami
āļø Miundombinu yote na huduma muhimu za kijamii zinapatikana
Ni fursa bora kwa:
š Kujenga nyumba ya kuishi
š¢ Apartments
šØ Lodge
š¬ Nyumba za biashara
š Nyaraka: Sales Agreement
ā
Mmiliki yupo na hakuna changamoto ya umiliki.
šµ Service Charge: TSh 30,000/=
š Muhitaji piga: +
Karibu tajiri, miliki kesho yako leo!








