Tafuta

Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (850 sqm)

Sh. 45,000,000

Maelezo

šŸ” VIWANJA VINAUZWA – TABATA SEGEREA šŸ”

Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba yako au kuwekeza? Hii ndiyo fursa yako!

šŸ“ Eneo: Tabata Segerea
āœ… Viwanja 2 vinauzwa (vyote ni vya mmiliki mmoja)
šŸ“ Ukubwa: SQM 850 kila kiwanja
šŸ’° Bei: TSh Milioni 45 kila kiwanja

Sifa za viwanja:
āœ”ļø Vinatazama barabara ya mtaa
āœ”ļø Mazingira mazuri na tayari yamejengeka
āœ”ļø Takribani kilomita 1 kutoka barabara ya lami
āœ”ļø Miundombinu yote na huduma muhimu za kijamii zinapatikana

Ni fursa bora kwa:
šŸ  Kujenga nyumba ya kuishi
šŸ¢ Apartments
šŸØ Lodge
šŸ¬ Nyumba za biashara

šŸ“„ Nyaraka: Sales Agreement
āœ… Mmiliki yupo na hakuna changamoto ya umiliki.

šŸ’µ Service Charge: TSh 30,000/=
šŸ“ž Muhitaji piga: +

Karibu tajiri, miliki kesho yako leo!

Mohammed Kilala

dalali_mbezi_kibaha_mpiji

@dalali_mbezi_kibaha_mpiji

View Listings
Mohammed Kilala