Frame ya Biashara inapangishwa Makongo Juu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
📢 FREM KUBWA SANA INAPANGISHWA – MAKONGO JUU<br/><br/>Unatafuta eneo la biashara lenye mvuto na muonekano wa kuvutia? Hii hapa nafasi yako!<br/><br/>🏢 Frem kubwa sana<br/>📍 Makongo Juu – inatazama barabara ya lami (muonekano mzuri kwa biashara)<br/>🌟 Ipo eneo zuri kabisa la kibiashara<br/>🚀 Inafaa kwa biashara mbalimbali kama:<br/>✔️ Pharmacy<br/>✔️ Duka la vipuri vya magari<br/>✔️ Barbershop<br/>✔️ Saloon kubwa ya kike<br/>✔️ Duka la vipodozi<br/>✔️ Duka la jumla<br/>✔️ Liquor store n.k<br/><br/>💰 Bei: 1,000,000/= kwa mwezi<br/>💵 Service charge: 30,000/=<br/><br/>📞 Call: 0787093748<br/><br/>👉 Chukua nafasi hii ya kipekee kukuza biashara yako kwenye eneo lenye wateja wa uhakika!






