Shule inauzwa Kibada, Misugusugu, Pwani (19 acre)

Misugusugu, Kibaha CBD, Pwani
19 hours ago
Sh. 2,000,000,000
Aina
Shule
Ukubwa
19 ACRE
Barabara ya Karibu
800m
Huduma na Sifa
Hati
Maelezo
*Shule ya Bweni ya Sekondari ya Wasichana inauzwa Kibaha, Misugusugu*
📍 Kibada, Misugusugu
❇️Distance: 800 Meters Kutoka main road
âś…Shule ina Form One mpaka Form Six ni Wasichana tupu.
âś…Shule ina madarasa 16, nyumba za walimu 13 na Mabweni 3.
âś…Shule imesajiliwa na inafanya kazi
âś…Shule Ina jumla ya Wanafunzi 367
âś…Plot size Ekari 19
âś…Document: Title Deed
0713 636000
*Bei shilingi Bilioni 2 maongezi yapo*
