Tafuta
-
-

Shule inauzwa Kibada, Misugusugu, Pwani (19 acre)

video thumbnail
Sh. 2,000,000,000

Aina

Shule

Ukubwa

19 ACRE

Barabara ya Karibu

800m

Huduma na Sifa

Hati

Maelezo

*Shule ya Bweni ya Sekondari ya Wasichana inauzwa Kibaha, Misugusugu*

📍 Kibada, Misugusugu

❇️Distance: 800 Meters Kutoka main road

âś…Shule ina Form One mpaka Form Six ni Wasichana tupu.

âś…Shule ina madarasa 16, nyumba za walimu 13 na Mabweni 3.

âś…Shule imesajiliwa na inafanya kazi

âś…Shule Ina jumla ya Wanafunzi 367

âś…Plot size Ekari 19

âś…Document: Title Deed
0713 636000
*Bei shilingi Bilioni 2 maongezi yapo*