Shamba linauzwa Kiwangwa, Pwani (16 acre)

Kiwangwa, Bagamoyo, Pwani
26 days ago
Sh. 100,000,000
Aina
Shamba
Ukubwa
16 ACRE
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara
Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Tambarare
Stoo
Crops
Pineapples
Maelezo
Shamba la ekari 16 pamoja na nyumba 2 kubwa zinauzwa
_____
Location kiwangwa Bagamoyo
_____
Kuna nyumba 2 kubwa zenye kila kitu ndani na godauni la kuhifadhia mazao
_____
Pia shamba lina mazao kama Mananasi,Miembe,Migomba,Mipapai,Mifenesi,mihogo na mifenesi
______
Shamba ni zuri sana lipo tambalale
______
Barabara ipo hadi shamba
______
Lipo umbali wa kilometa 2 kutoka kiwangwa mjini na ilipo barabara kuu ya lami
______
Vyote kwa pamoja vinauzwa shilingi 100 milioni
______
Wahi sasa ulipate hili shamba utakuja kunishukuru
_____
Call and WhatsApp +255713928950
#dalali_bagamoyo
#bagamoyoproperty
#realestatetanzania
