Shamba linauzwa Mkata, Tanga (500 acre)
Mkata, Tanga
4 days ago
Sh. 150,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
Habari wadau shamba linauzwa zipo ekari 500 zipo mkoa wa morogoro wilayani mvomero kijiji mkata barabara kuu ya iringa road shamba lipo kilometa 1 kutoka barabara kubwa ya iringa halijasafishwa shamba linauzwa milioni 150 shamba limepimwa Lina mchoro na Lina hati kabisa ya wizara piga simu



