Shamba linauzwa Mkata, Tanga acre 30






Mkata, Handeni, Tanga
5 hours ago
Sh. 80,000,000
Ukubwa
30 ACRE
Maelezo
SHAMBA LA EKARI 30 LINAUZWA MKATA
_____
Location kijiji cha pozo mkata
_____
Lipo umbali wa kilometa 2 kutoka kijijini
_____
Shamba limepandwa mkonge ekari 25
_____
Ekari 10 zipo tayari kwa kuvunwa na ekari 15 zitakua tayari kwa kuvunwa mwishoni mwa mwaka huu
_____
Na ekari 5 hazijapandwa lakini tayari zimeshasafiswa
_____
Zote kwa pamoja zinauzwa Tsh 80,000,000 milion themanini
_____
Barabara ipo hadi shamba
_____
Service charge 30,000 /=
_____
CALL AND WHATSAPP +255713928950
Follow @dalali_bagamoyo na @bagamoyoproperty
#dalali_bagamoyo
#bagamoyoproperty
#realestatetanzania

