Duka linauzwa Kigamboni Kisiwani Magingeheni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
💅 OFISI YA KUCHA INAUZWA KIGAMBONI 💅
📍 Location: Kigamboni Kisiwani Magingeheni, Dar es Salaam
📌 Ipo senta kabisa na inagusa barabara ya lami
✨ Ofisi nzuri ya kucha inauzwa kwa bei ya nguvu sana!
💰 Bei: Milioni 7 tu mazungumzo yapo
🔥 Good News:
✅ Frem tayari imelipiwa kodi ya miezi 14
✅ Biashara inaendelea vizuri sana
✅ Unaweza kuingiza zaidi ya milioni 2 kwa mwezi
✅ Wafanyakazi wote wanaachiwa
✅ Vifaa vyote muhimu vipo tayari
✅ Eneo lina wateja wengi na movement kubwa
💼 Hii ni nafasi nzuri kwa mtu anayetaka kuanza biashara bila usumbufu wa kuanzia chini. Unaingia unaendelea na biashara moja kwa moja.
💵 Service Charge: Tsh 30,000/= kwa kwenda site
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam businessforsale kigamboni nailsstudio dar es salaam






