Villa ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Mikadi, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Aina
Villa
Vyumba
4
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
ποΈ BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA β KIGAMBONI, MIKADI (MALAIKA BEACH) π
Je, unatafuta nyumba ya kifahari karibu na bahari kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom.
β
Sebule kubwa na jiko la kisasa.
β
Servant Quarter yenye vyumba 2.
β
Eneo la SQM 1,200.
β
Imepimwa na ina Hati ya Wizara.
β
Nyumba ni ya pili kutoka ufukweni (Beach Second Row).
β
Meta 300 tu kutoka barabara kuu ya lami.
β
Kilomita 7 kutoka Feri ya Kigamboni.
β
Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere.
Vifaa na Huduma:
π΄ Garden kubwa na nzuri.
β‘ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu.
πͺ Automatic Gate.
πΉ CCTV Camera za ulinzi.
π‘ Nyumba imekamilika na ipo katika mazingira tulivu na ya kuvutia.
Inafaa Kwa:
βοΈ Beach House Villa.
βοΈ Guest House.
βοΈ Airbnb.
βοΈ Hoteli ndogo (Boutique Hotel).
βοΈ Makazi ya familia.
Hii ni nyumba ya kipekee yenye nafasi kubwa, eneo zuri na fursa nzuri ya uwekezaji karibu kabisa na bahari.
π° Bei: TZS Milioni 600 tu.
π€ Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.
π +255-769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio















