Villa ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Mikadi, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Aina
Villa
Vyumba
4
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏝️ BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI, MIKADI (MALAIKA BEACH) 🌊
Je, unatafuta nyumba ya kifahari karibu na bahari kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom.
✅ Sebule kubwa na jiko la kisasa.
✅ Servant Quarter yenye vyumba 2.
✅ Eneo la SQM 1,200.
✅ Imepimwa na ina Hati ya Wizara.
✅ Nyumba ni ya pili kutoka ufukweni (Beach Second Row).
✅ Meta 300 tu kutoka barabara kuu ya lami.
✅ Kilomita 7 kutoka Feri ya Kigamboni.
✅ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere.
Vifaa na Huduma:
🌴 Garden kubwa na nzuri.
⚡ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu.
🚪 Automatic Gate.
📹 CCTV Camera za ulinzi.
🏡 Nyumba imekamilika na ipo katika mazingira tulivu na ya kuvutia.
Inafaa Kwa:
✔️ Beach House Villa.
✔️ Guest House.
✔️ Airbnb.
✔️ Hoteli ndogo (Boutique Hotel).
✔️ Makazi ya familia.
Hii ni nyumba ya kipekee yenye nafasi kubwa, eneo zuri na fursa nzuri ya uwekezaji karibu kabisa na bahari.
💰 Bei: TZS Milioni 600 tu.
🤝 Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.
📞 +255-769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio






