Villa ya vyumba vinne inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
š” BEACH HOUSE YA KISASA INAUZWA ā KIGAMBONI MJIMWEMA š
Unatafuta nyumba ya kifahari iliyo ufukweni mwa bahari? Hii ndiyo fursa yako!
ā
Vyumba 4, vyote Master Bedroom
ā
Sebule kubwa, Dining na Jiko la kisasa
ā
Ukubwa wa kiwanja SQM 1,100
ā
Eneo limepimwa na lina Hati ya Wizara (Full Title Deed)
ā
Nyumba imegusa barabara ya lami
ā
Beach Front ā imepakana moja kwa moja na ufukwe wa bahari
ā
Swimming Pool
ā
Gazebo ya kupumzikia
ā
Garden nzuri yenye mandhari ya kuvutia
ā
Mwonekano wa bahari (Full Sea View)
ā
Nyumba ya kisasa na ya kiwango cha juu (Class)
š Umbali:
* Kilomita 6 kutoka Ferry
* Kilomita 5 kutoka Daraja la Nyerere
š° Bei: TSh Milioni 650
š¤ Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
š0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #realestateagent















