Viwanja vinauzwa Buyuni (Mti Mweupe), Kigamboni, Dar Es Salaam (665 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
๐กโจ Ndoto ya kuwa na kiwanja sasa inawezekana! ๐Kumiliki ardhi sasa ni jambo la kufanya maamuzi tu kwani kwa kulipa kidogo kidogo kunaweza kufanikisha ndoto zako za kumiliki kiwanja halali kabisa,
Pata kiwanja chenye ukubwa wa SQM 665 kwa kuanzia Tsh 526,500/- tu ndani ya miezi 24 ๐๏ธ
Hii ni nafasi ya kipekee ya kuanza safari yako ya kujenga nyumba ya ndoto zako katika eneo zuri na lenye maendeleo ya haraka.
โ
Kinafaa kwa nyumba ya makazi, au hata kujenga hotel
โ
Nalikabaki Eneo la kutengeneza bustani nzuri zakuvutia
โ
Eneo la kuegesha gari
โ
Na uwanja wa watoto kucheza.
๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 Usisubiri Hadi bei zipande zaidi โ anza leo kuwekeza kwenye maisha yako ya kesho. Ardhi ni mali isiyopoteza thamani, na kila hatua unayochukua leo ni mwanzo wa mafanikio ya familia yako kesho. ๐ฑ๐
๐ Makumbusho, Derm Plaza 11th Floor
๐ +255 748 303 601
#AndaMakazi #TrustSolution #Uwekezaji #Makumbusho #NyumbaYaNdoto Ardhi RealEstateTanzania KiwanjaChako FutureHome















