Viwanja vinauzwa Buyuni (Mti Mweupe), Kigamboni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
โจ Huu sio mradi wa kusimuliwaโฆ ni wa kushuhudiwa! โจ
Mradi wetu umejipanga kwa ubora wa hali ya juu โ barabara zipo vizuri na eneo linafikika kirahisi hata kipindi cha mvua ๐ง๏ธ๐. Hakuna usumbufu, hakuna kukwamaโฆ unafika site kwa urahisi muda wowote.
Zaidi ya hapo, watu wengi tayari wamefanya maamuzi sahihi na wameshajichagulia viwanja vyao โ hii ni ishara tosha kuwa eneo linaaminika na lina thamani kubwa inayokua kila siku. Usije ukabaki unasema โningejua mapemaโ!
Hii ni nafasi yako ya kujiunga na wale waliokwisha chukua hatua. Njoo ujichagulie kipande chako kabla nafasi hazijaisha. ๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24
๐ Karibu site ujionee mwenyewe
๐ Wasiliana nasi sasa +255 748 303 601
โUnachelewa leo, unajilaumu kesho.โ ๐ฅ๐ก #NunuaArdhi
#FutureInvestment
#RealEstateTZ
#WekezaSasa
#ArdhiNiMali















