Viwanja vinauzwa Buyuni (Mti Mweupe), Kigamboni, Dar Es Salaam


Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
New week, new opportunities! 🌿
Anza wiki yako kwa mtazamo mpya na maamuzi sahihi ya maisha yako ya baadaye. Kila mwanzo wa wiki ni nafasi ya kujipanga upya, kuweka malengo mapya na kuchukua hatua kuelekea mafanikio.
Uwekezaji wa ardhi ni moja ya maamuzi bora unayoweza kufanya leo. Kigamboni Kumenoga ni chaguo sahihi kwa wewe unayetafuta sehemu salama na yenye thamani inayokua kila siku—anza kidogo kidogo lakini kwa uhakika.
Usikose fursa hii muhimu! Wasiliana nasi leo na chukua hatua ya kumiliki ndoto zako. Maisha bora yanaanza na maamuzi unayofanya sasa. 🌱✨ 📍 BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni – Dar es Salaam
✔ Km 2 kutoka Baharini
✔ Km 1 kutoka Barabara kuu
💰 Bei Maalum:
• Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
• Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
✔ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 📌Kimbiji kwa Chale 📍 Mita 200 tu kutoka barabara kuu
🌊 Mita 600 kutoka baharini
💰 Bei ni sh 30,000 kwa sqm
✅ Anza na down payment ya 20% tu
📆 Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 📞Wasiliana nasi +255 748 303 601
🍀Maisha bora huanza na hatua sahihi.🌟 #NewWeek #NewOpportunities #Uwekezaji #LipakidogoKidogo #InvestSmart OwnYourFuture RealEstateTZ DreamBig















