Viwanja vinauzwa Dodoma


Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅOfa ya punguzo la bei bado inaendelea latika banda letu ukifika utajipatia elimu kuhusu namna ya kununua ardhi ili kuepukana na migogoro mbalimbali
Miradi ya Viwanja ambavyo vipo kwenye offa
Ntyuka unamiliki kiwanja kwanzia 8Milion tuuh
Nghonghona unamiliki kiwanja kwanzia 4.9milion
Viwanja vyetu vina Hati
Pia utaweza kulipa kwa awamu mpaka miezi 6
Ujanja ni kuwahi katika banda letu
Bila kusahau viwanja vyetu vipo mazingira Safi na tulivu ambayo huduma za kijamii zote zimefika site
Tupo tent la (academic institutions pavilion) mkabala na banda la mkemia mkuu
Huduma ya site kwenda kuona kiwanja ni Bure nipigie kupitia namba 0761444449















