Viwanja vinauzwa Fanisi City, Kigamboni, Dar Es Salaam (300 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก MRADY MPYA WA VIWANJA VINAUZWA โ KIGAMBONI, FANISI CITY ๐ก
Unatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
๐ Eneo: Fanisi City, Kigamboni
โ
Umbali wa kilomita 1 kutoka Mlanda
โ
Kilomita 12 kutoka Feri
โ
Kilomita 10 kutoka Daraja la Mwalimu Julius Nyerere
Ukubwa na Bei:
๐ SQM 300 โ TZS 11,000,000
๐ SQM 400 โ TZS 20,000,000
๐ SQM 500 โ TZS 28,000,000
๐ฅ Bei zinajadiliwa (Mazungumzo yapo).
Faida za Viwanja:
โ๏ธ Eneo linalokua kwa kasi na linafaa kwa uwekezaji.
โ๏ธ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana, ikiwemo maji, shule na nyinginezo.
โ๏ธ Barabara nzuri zinafika hadi kwenye viwanja.
โ๏ธ Gari la aina yoyote linafika kwa urahisi hadi site.
Usikose nafasi ya kumiliki kiwanja katika moja ya maeneo yenye ukuaji mkubwa Kigamboni.
๐ 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















