Tafuta

Viwanja vinauzwa Fanisi City, Kigamboni, Dar Es Salaam sqm 300

Sh. 11,000,000

Ukubwa

300 SQM

Huduma na Sifa

Maelezo

🏑 MRADY MPYA WA VIWANJA VINAUZWA – KIGAMBONI, FANISI CITY 🏑

Unatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!

πŸ“ Eneo: Fanisi City, Kigamboni
βœ… Umbali wa kilomita 1 kutoka Mlanda
βœ… Kilomita 12 kutoka Feri
βœ… Kilomita 10 kutoka Daraja la Mwalimu Julius Nyerere

Ukubwa na Bei:

🏠 SQM 300 – TZS 11,000,000
🏠 SQM 400 – TZS 20,000,000
🏠 SQM 500 – TZS 28,000,000

πŸ’₯ Bei zinajadiliwa (Mazungumzo yapo).

Faida za Viwanja:

βœ”οΈ Eneo linalokua kwa kasi na linafaa kwa uwekezaji.
βœ”οΈ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana, ikiwemo maji, shule na nyinginezo.
βœ”οΈ Barabara nzuri zinafika hadi kwenye viwanja.
βœ”οΈ Gari la aina yoyote linafika kwa urahisi hadi site.

Usikose nafasi ya kumiliki kiwanja katika moja ya maeneo yenye ukuaji mkubwa Kigamboni.

πŸ“ž 0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio