Tafuta

Viwanja vinauzwa Kibaha Kwa Mathias Msangani, Pwani sqm 400

video thumbnail
Kibaha, Pwani
15 hours ago
Sh. 2,500,000

Ukubwa

400 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Shule
Umeme
Maji

Maelezo

๐Ÿšจ OFFA OFFA OFFAAA.....USIKUBALI HII IKUPITE ๐Ÿšจ

๐Ÿก Viwanja vinauzwa kwa bei nafuu mno!, Bei ya offa kwa viwanja vichache vilivyobakia

๐Ÿ“ Location: Kibaha kwa Mathias Msangani โ€“ Mtaa wa Madina, Mkoa wa Pwani.

โœ… Eneo zuri na salama.
โœ… Barabara nzuri, lami ipo.
โœ… Shule ipo umbali wa takribani mita 500 tu.
โœ… Umeme upo site.
โœ… Maji yanapatikana kwenye nyumba za jirani.
โœ… Huduma zote muhimu zinapatikana na eneo linafikika muda wote.

๐Ÿ’ฅ Bei maalum ya offa
๐Ÿ“ SQM 400 (20ร—20) โ€“ Tsh 2,500,000 tu
๐Ÿ“ SQM 300 (15ร—20) โ€“ Tsh 1,800,000 tu

โš ๏ธ Viwanja vimabaki vichache sana, lakini wahitaji ni wengi!
Ukichelewa leo, unaweza kukosa nafasi hii.

#viwanjavilivyopimwa #viwanjapwani #kibahakwamatias

Matangazo mengine Kibaha, Pwani