Viwanja vinauzwa Kibiji Kwa Chale, Buyuni (Mti Mweu), Kigamboni, Dar Es Salaam


Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
200m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ธโจ Woman Crush Wednesday โจ๐ธ
Mwanamke mahiri sio wa kusubiri, ni wa kuthubutu! Leo hii chukua hatua ya kujijengea kesho yako kwa kumiliki ardhi salamaโuwekezaji usiopoteza thamani ๐ฏ๐ก
Na kwa wanaume wenye maonoโฆ hakuna zawadi ya thamani kama kumpa mkeo au mpenzi wako kipande cha ardhi, Lakini pia unaweza kumnunulia Mama, Dada au binti yako ardhi salama.Ni heshima, ni upendo, na ni uhakika wa maisha bora ya kesho โค๏ธ
Usisubiri mpaka bei zipande, anza leo. Fanya maamuzi yatakayobadilisha maisha ya familia yako milele ๐โจ Mradi ๐KIMBIJI KWA CHALE ๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24
Wasiliana nasi: ๐+255 748 303 601
Ofisi zipo
๐Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
๐ Kigamboni โ kila kitu kipo, huduma zote karibu, na mazingira rafiki kwa makazi
๐ Wekeza leo, ishi kesho kwa amani
#WomanWithLand #MwanamkeMahiri #UwekezajiSalama #AndaaMakazi #KigamboniPlots MalipoKwaAwamu
