Tafuta
-
-

Viwanja vinauzwa Kibiji Kwa Chale, Buyuni (Mti Mweu), Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 17,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Barabara ya Karibu

200m

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara
Karibu na Bichi

Maelezo

๐ŸŒธโœจ Woman Crush Wednesday โœจ๐ŸŒธ
Mwanamke mahiri sio wa kusubiri, ni wa kuthubutu! Leo hii chukua hatua ya kujijengea kesho yako kwa kumiliki ardhi salamaโ€”uwekezaji usiopoteza thamani ๐Ÿ’ฏ๐Ÿก
Na kwa wanaume wenye maonoโ€ฆ hakuna zawadi ya thamani kama kumpa mkeo au mpenzi wako kipande cha ardhi, Lakini pia unaweza kumnunulia Mama, Dada au binti yako ardhi salama.Ni heshima, ni upendo, na ni uhakika wa maisha bora ya kesho โค๏ธ
Usisubiri mpaka bei zipande, anza leo. Fanya maamuzi yatakayobadilisha maisha ya familia yako milele ๐ŸŒโœจ Mradi ๐Ÿ“ŒKIMBIJI KWA CHALE ๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18

๐Ÿ“ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ€“ Dar es Salaam
โœ” Km 2 kutoka Baharini
โœ” Km 1 kutoka Barabara kuu
๐Ÿ’ฐ Bei Maalum:
โ€ข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โ€ข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โœ” Malipo kwa awamu hadi miezi 24
Wasiliana nasi: ๐Ÿ“ž+255 748 303 601
Ofisi zipo
๐Ÿ“Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
๐Ÿ“ Kigamboni โ€“ kila kitu kipo, huduma zote karibu, na mazingira rafiki kwa makazi
๐Ÿ‘‰ Wekeza leo, ishi kesho kwa amani
#WomanWithLand #MwanamkeMahiri #UwekezajiSalama #AndaaMakazi #KigamboniPlots MalipoKwaAwamu