Viwanja vinauzwa Kigamboni, Cheka, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅ BIG OFFER โ Fursa Adimu Sana Kigamboni! ๐ฅ
Hii ni fursa ambayo haitokei mara kwa mara!
Vinauzwa viwanja vitatu vikubwa, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa SQM 1,000, na vyote vinagusa barabara kubwa ya mtaa. Viwanja hivi vimeungana, hivyo unaweza kununua:
โ
Kiwanja kimoja
โ
Viwanja viwili
โ
Au kuvichukua vyote vitatu kwa uwekezaji mkubwa.
๐ฐ Bei ya kila kiwanja ni TZS 14,500,000 tu.
๐ Mahali: Kigamboni, Cheka, Dar es Salaam.
๐ Takribani kilomita 1 kutoka barabara ya lami.
Eneo limejengeka vizuri na lina huduma zote muhimu:
โก Umeme
๐ซ Shule za serikali na binafsi
๐ Masoko
๐ฃ๏ธ Barabara nzuri
๐ง Huduma nyingine za kijamii
Hii ni fursa bora kwa:
๐ก Kujenga nyumba ya kuishi
๐๏ธ Kujenga nyumba za kupangisha
๐จ Hoteli au Lodge
๐ซ Shule
๐ฝ๏ธ Migahawa au biashara nyingine
๐ Ufugaji na miradi mingine ya maendeleo
Ukichukua viwanja vyote vitatu, utapata jumla ya SQM 3,000, eneo kubwa lenye nafasi ya kutekeleza mradi wowote wa kibiashara au makazi.
โญ Eneo lina ukuaji mkubwa wa thamani na linafaa kwa wawekezaji wanaotafuta faida ya muda mfupi na mrefu.
๐ Wasiliana: 0746407197
๐ผ Service Charge: TZS 30,000
๐ฒ Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni DarEsSalaam Investment ViwanjaVinauzwa















