Tafuta
-
-

Viwanja vinauzwa Tundwi Songani, Dar es Salaam sqm 400

video thumbnail
Sh. 7,000 per sqm

Ukubwa

400 SQM

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Karibu na Shule
Karibu na Barabara
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

📞 Tupigie simu: 0621 314 675 au 0712 390 895

jasiri_land_company_limited tunakukaribisha kwenye mradi wetu mpya wa TUNDWI SONGANI – KIGAMBONI.

Huu si wa kukosa 🤝 Viwanja ni vichache, wahi saa uchukue kabla havijakata!

📐 Ukubwa wa viwanja: Kuanzia SQM 400 hadi SQM 2000
💰 Bei: TSH 7,000/= tu kwa SQM 1

💳 Malipo rahisi:
Lipa kidogo kidogo ndani ya mwaka mzima
• Malipo ya awali 40%
• 60% zilizobaki utalipa kidogo kidogo ndani ya mwaka mzima

📍 Viwanja vimepimwa na huduma zote za kijamii zinapatikana:
💧 Maji
⚡ Umeme
🏥 Huduma za Afya
🏫 Shule
🛣️ Barabara

Karibu jasiri_land_company_limited
Miliki ardhi ya ndoto yako kwa manufaa ya leo na baadaye.

🏢 Tembelea ofisi zetu tukupeleke Site.
📌 Tupo Kigamboni, Kijaruba – opposite Shule ya Msingi Maweni.

☎️ Kwa mawasiliano zaidi tupigie: 0621 314 675 au 0712 390 895