Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam




Aina
Kiwanja
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Tanzania hii especially Dar es salaam hakuna sehemu mbali , NEVER
๐Kwa sasa ukisema uwekeze bagamoyo hiyo ni pwani tayar means dar umeshaiacha
๐Ukisema uwekeze mlandizi au chalinze , bado ni pwani siyo dar es salaam
๐Ukisema uende Vikindu, Vianz etc , Hiyo ni Wilaya ya mkuranga tayari siyo Dar tena
โ
Sehemu pekee Inayofaa na inakua kwa haraka kwenye uwekezaji ni Kigamboni
๐KUMBUKUKA KIGAMBONI BADO NI DAR , Still utapata hati Zimeandikwa Dar Es Saalam ,
๐ฐNa pia bei zake ni nafuuu , Unaweza kulipa kidogo kidogo kwa kuanza na milioni moja ( 1 ) tu iliyobak had miaka mwili ,
๐Uzur wa Ardhi Ya kigamboni ni mchanga , Ardhi ni flat na mchanga mweupe ( White sand ) Hakuna bonde wala tope๐ ๐ฅ ๐ฅ
๐ฏLastly kutokea City center kwenda kigamboni ni karibu ukilinganisha na umbali wa kwenda bunju , Goba , kimara etc
๐ฅ๐ฅBADO NASIMAMA NA KIGAMBONI ( THE BEST PLACE EVER TO EXPERIENCE A NATURE ๐ฆ ๐๏ธ
๐CURRENTLY PROJECT
๐MWASONGA ( Anza na Mil 1 Tu iliyobak lipa kisogo kidogo
๐KIMBIJI GOLANI ( Anza na Mil 1 Tu iliyobak lipa. mwaka mzima )
๐KIMBIJI KIJAKA ๐๏ธ ( ANZA na mil 2 Tu ( iliyobak lipa miez 15
๐Mwembe mdogo ( Dege ) , Anza na Mil 2 iliyobak lipa ndan ya miez 12 ( mwaka mzima )
๐กLet us guide you home!
๐ 0754047231 / 0654319483
Ofisi zetu zipo ๐AB plaza floor no 1, Maweni -
Kisota, kigamboni opposite kisota & aboud jumbe secondary school
๐ง linfo@malengoproperty.co.tz
๐www.malengoproperty.co.tz















