Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Aina
Kiwanja
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐จ USINUNUE KIWANJA KWA BEI NAFUU UKASAHAU USALAMA WA UMILIKI WAKE! ๐จ
Kwenye uwekezaji wa ardhi, bei si kila kituโฆ usalama wa kisheria ndiyo kila kitu. Nunua kiwanja chenye nyaraka sahihi na taratibu zinazoeleweka ili kulinda fedha zako na familia yako.
๐ Miradi yetu:
๐ด KIGAMBONI โ Kimbiji
๐ต Cash: TSh 20,000 kwa mยฒ
๐๏ธ Installment: TSh 25,000 kwa mยฒ
๐ด KIGAMBONI โ Buyuni
๐ต Cash: TSh 10,000 kwa mยฒ
๐๏ธ Installment: TSh 12,000 kwa mยฒ
๐ด KIGAMBONI โ Puna
๐ต Cash: TSh 10,000 kwa mยฒ
๐๏ธ Installment: TSh 12,000 kwa mยฒ
๐ ARDHI HAISUBIRI! Leo ni bei hii, kesho thamani inaweza kuongezeka. Linda uwekezaji wako kwa kununua kiwanja chenye usalama wa kisheria na nyaraka sahihi.
๐ Wasiliana nasi sasa:
0741 001 000
๐ข Ofisi zetu:
Mwananyamala Komakoma, Jannat Plaza โ Floor 1
SITE TO SITE REAL ESTATE CO. LTD
โTunakuunganisha na umiliki salama wa ardhi kwa ajili ya kesho yako.โ#sitetositerealestate #realestatetanzania #kigamboni #socialmedia #investkigamboni















