Viwanja vinauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam sqm 700

Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 VIWANJA VINAUZWA – KIGAMBONI FANI CITY
Fursa ya kipekee kwa makazi na uwekezaji katika eneo linalokua kwa kasi!
📍 Kiwanja cha Kwanza: SQM 700 – TSh Milioni 35
📍 Kiwanja cha Pili: SQM 750 – TSh Milioni 35
🔥 Ukinunua viwanja vyote viwili kwa pamoja, utalipia TSh Milioni 65 tu!
📍 Mahali: Kigamboni Fani City
✅ Mita 300 kutoka barabara kuu ya lami
✅ Kilomita 12 kutoka Ferry
✅ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
Viwanja hivi vinafaa kwa:
🏢 Kujenga apartmenti za kupangisha
🏠 Kujenga nyumba ya makazi
🏘️ Miradi mbalimbali ya uwekezaji
✔️ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana, ikiwemo maji na umeme.
✔️ Mazingira ni mazuri, salama na yanaendelea kwa kasi.
📞 0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #realestateforsale #tanzania















