Viwanja vinauzwa Kigamboni Kimbiji, Dar Es Salaam (598 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
598 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Usisubiri viwanja Karibu na bahari ambavyo vinafaa kabisa kwa uwekezaji viishe kabisa .Leo hii kiwanja kimebaki kimoja tu.
viwanja vya beach line 2
Beach ๐๏ธ plots ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ kumenoga
Kigamboni kimbiji beach Plots ...
Viwanja vipo Kigamboni kimbiji center ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Mita 600 tu kutoka barabara kubwa hadi site.
Viwanja vipo mita 200 tu kutoka beach
View ya bahari na upepo safi kabisa
Sifa za mradi .
umeme hadi kwenye mradi
@ barabara safi zilizochongwa hadi site
@ mradi ni tambarare
@ maji ya bomba .
@ majirani karibu na mradi
@ Hotels pamoja na resorts kuzunguka mradi
@ seacleef nzuri na sand beach kwenye karibu ja mradi
Bei ni Sawa na bure
Sqm 1=Tsh 50,000 cash .
Sqm 1 =Tsh 55,000 installment 18 months
Malipo ni kila mwezi kwa wateja wa installment !
Kiwanja kilichopo sokoni
Sqm 598 Tsh 29,900,000
Tunapatikana Mwenge Bamaga Dora Tower 5th floor
Kwa mawasiliano zaidi +255 761444564
Ardhi dhamana yako , nunua leo kwa faida ya badae.
#๐ฑ๐ถ๐ฎ๐๐ฝ๐ผ๐ฟ๐ฎ๐๐ #gym #afcon2025 #realtors
