Tafuta

Viwanja vinauzwa Kigamboni Mwasonga Vumilia Ukooni, Dar Es Salaam sqm 500

video thumbnail
Sh. 13,500,000

Ukubwa

500 SQM

Barabara ya Karibu

2km

Maelezo

๐Ÿก VIWANJA VINAVYOUZWA โ€“ FURSA YA UWEKEZAJI! ๐ŸŒฟKIGAMBONI,MWASONGA VUMILIA UKOONI

Tunauza viwanja vya aina mbili katika eneo zuri na linalokua kwa kasi:

๐Ÿ“ Ukubwa na Bei:
โœ… SQM 500 โ€“ TZS Milioni 13.5
โœ… SQM 1,000 โ€“ TZS Milioni 28
๐Ÿ’ฐ Mazungumzo kidogo yapo.

๐Ÿ“„ Sifa za Viwanja:
โœ”๏ธ Vimepimwa na Approved Plan
โœ”๏ธ Eneo limenyooka na halijawahi kujaa maji
โœ”๏ธ Mazingira salama na tulivu, yanafaa kwa makazi na uwekezaji

๐Ÿ“ Umbali:
๐Ÿš— Kilomita 2 kutoka barabara ya lami
โ›ด๏ธ Kilomita 18 kutoka Ferry
๐ŸŒ‰ Kilomita 17 kutoka Daraja la Nyerere

๐Ÿซ Huduma za Kijamii:
๐Ÿ’ง Maji
โšก Umeme
๐Ÿฅ Hospitali
๐Ÿซ Shule
๐Ÿ›’ Huduma nyingine muhimu zinapatikana kwa urahisi.

Karibu sana kwa wawekezaji na wanaotafuta eneo bora la kujenga makazi yao.

๐Ÿ“ž 0769554221
๐Ÿ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio