Tafuta

Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam sqm 500

Sh. 1,000,000

Ukubwa

500 SQM

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maelezo

Mradi huu upo Kimbiji(kijaka), Kigamboni, na unatoa fursa ya kumiliki kiwanja kwa urahisi. Tunayo viwanja vya ukubwa tofauti—mita za mraba 500, 600, 700,1,000 hadi 2,000, vinavyofaa kwa makazi na uwekezaji. Unaweza kuanza kwa malipo ya awali ya shilingi milioni1 tu, kisha ukalipia salio kwa awamu ndani ya miezi 12. Huu ni mpango unaomwezesha kila mtu kumiliki kiwanja kulingana na uwezo wake wa kifedha
SITE VISIT 30K
Mawasiliano
0758631303

#tuposotempakamwisho