Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam

Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
300m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Karibu Kigamboni Kimbiji. Grand Estate 🌴🏡 Unatafuta kiwanja cha bei nafuu kabisa ambacho kipo Karibu na huduma zote za kijamii tunaviwanja kwaajili ya .biashara,uwekezaji na makazi mradi wetu uko Kigamboni kimbiji kwa chale . 📍 Umbali kutoka Ferry: Km 33 tu 🌊 Umbali kutoka baharini: Mita 800 🛣 Umbali kutoka barabara kuu: Mita 300 ✔️ Huduma zote za kijamii zipo karibu (shule, hospitali, maji, umeme) Eneo linaendelea kukua kwa kasi, miundombinu inaboreshwa kila siku na thamani ya ardhi inapanda kila mwaka Viwanja Vilivyopo sokoni ✅sqm 541 Tsh 10,820,000✅Available ✅ ✅sqm 510 Tsh 10,200,000✅available ✅ ✅sqm 514 Tsh 10,280,000✅available ✅sqm 528 Tsh 10,560,000✅available ✅ ❌sqm 510 Tsh 10,200,000❌sold❌ ❌sqm 508 Tsh 10,160,000❌sold❌ ❌sqm 448 Tsh 8,960,000❌sold❌ ❌sqm 499 Tsh 9,980,000❌sold❌ Usisubiri hadi bei zipande zaidi… Chukua hatua sasa, jenga kesho yako leo! 📞 Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi 0761444564 👉 Viwanja vinapatikana kwa CASH na INSTALLMENT #GrandEstate #Kigamboni #Uwekezaji #ArdhiNiMali #InvestNow















