Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 30,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Barabara ya Karibu

200m

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

๐Ÿ€ Usinunue kiwanja kwa maneno tu!
๐Ÿ“ Katika uwekezaji wa ardhi, makubaliano ya maandishi si chaguo โ€” ni ulinzi wako. Kila senti unayowekeza inapaswa kulindwa kwa mkataba rasmi unaoeleweka na pande zote.
๐Ÿ“Œ Kumbuka:
๐Ÿ€ Ahadi zinaweza kusahaulika, lakini maandishi yanadumu. Epuka migogoro ya baadaye kwa kuhakikisha kila kitu kiko wazi, kimeandikwa, na kimesainiwa kihalali.
๐Ÿ“ Fanya maamuzi sahihi leo:
๐Ÿ“Œ Nunua kiwanja chenye nyaraka kamili, hakikisha mkataba upo, na linda ndoto yako ya umiliki wa ardhi bila wasiwasi.
๐Ÿ€ Uwekezaji salama huanza na makubaliano sahihi. โœ๏ธ๐Ÿ“„ Miradi ๐Ÿ“ŒKimbiji kwa Chale ๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐Ÿ“žWasiliana nasi, +255 748 303 601
๐Ÿ“Tunapatikana Makumbusho jengo la Derm plaza floor ya 11 ๐Ÿ“Œ Andika historia yako ya mafanikio kupitia uwekezaji sahihi wa ardhi. #PlotsForSale #KimbijiKumenoga #ViwanjaVyaMakazi #MalipoKwaAwamu #ViwanjaHalali