Viwanja vinauzwa Kisemvule, Pwani sqm 400

Ukubwa
400 SQM
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐จ๐ช๐๐๐๐ญ๐๐๐ ๐๐ข๐ฅ๐ ๐๐๐จ๐๐๐ก๐ฌ๐ช๐ ๐๐๐ข ๐ง๐จ... ๐จ๐๐๐ก๐ฌ๐ช๐ ๐๐ช๐ ๐๐จ๐๐๐๐๐ฅ๐๐ ๐๐๐ฆ๐๐ข. ๐๐ก
Kadri idadi ya watu inavyoendelea kuongezeka, ndivyo mahitaji ya ardhi na makazi yanavyozidi kuongezeka.
Ndiyo maana wawekezaji wenye maono huangalia maeneo yenye ukuaji wa baadaye, si yale yaliyokwishaendelea.
Kisemvule ni moja ya maeneo yanayotarajiwa kuwa na ukuaji mkubwa kutokana na maendeleo ya viwanda, miundombinu na ongezeko la mahitaji ya makazi.
Akiba Properties tumekuandalia mradi wa Kisemvule ili kukupa nafasi ya kuwekeza mapema kabla thamani ya eneo haijapanda zaidi.
๐๐๐ฎ ๐ป๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ด๐๐ฒ ๐๐ถ๐๐ฒ๐บ๐๐๐น๐ฒ?
โ
Viwanja vinapatikana kuanzia SQM 400 na kuendelea.
โ
SQM 1 ni TSh 18,000 tu.
โ
Lipa kidogo kidogo kwa miezi 36.
โ
Hati Miliki Bure ukikamilisha malipo kwa 100%.
โ
Mkataba wa Mauziano.
โ
EFD Receipt kwa kila malipo.
โ
Usafiri Bure kwenda Site Visit kila Jumamosi.
Leo ni nafasi yako. Kesho inaweza kuwa gharama kubwa zaidi.
๐ Book Site Visit sasa: 0699 117 035 / 0699 117 036
๐ Mwenge Bamaga, Dora Tower (Ghorofa ya 4) โ Dar es Salaam.
#AkibaProperties #Kisemvule #ViwanjaVinauzwa #RealEstateTanzania #uwekezaji















