Tafuta
-
-

Viwanja vinauzwa Kisota Renga, Dar Es Salaam (300 sqm)

video thumbnail
Sh. 500,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

300 SQM

Barabara ya Karibu

500m

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

🏡 VIWANJA VIPYA VINAVYOUZWA – KIGAMBONI KISOTA (RENGA AREA)

📍 Location: Kisota (Renga), Kigamboni – Dar es Salaam

✅ Viwanja vilivyopimwa tayari
✅ Hati ya Wizara inapatikana
✅ Hakuna migogoro wala changamoto yoyote
✅ Barabara kubwa na nzuri kupitika mwaka mzima
✅ Karibu na huduma za kijamii (shule, hospitali, n.k.)

📏 Ukubwa wa Viwanja:
✔️ Kuanzia SQM 300 na kuendelea

💰 Bei:
✔️ Kuanzia TZS 500,000+ (bei nafuu sana kwa eneo hili)

📍 Umbali Muhimu:
✔️ Mita 500 kutoka barabara kuu
✔️ KM 2.5 hadi barabara ya lami
✔️ KM 3 hadi Darajani
✔️ KM 5 hadi Feri
✔️ KM chache hadi Posta

⚠️ Viwanja vimebaki VICHACHE sana – chukua hata viwili au vitatu kwa uwekezaji!

💸 Service Charge: TZS 30,000

📞 Call/WhatsApp: +255 746 407 197



#dalali #dalalikigamboni #dalaliviwanja #plotsforsale #kigamboni kisota renga viwanjavinauzwa uwekezaji realestateTanzania chatgpthousesforrent googlebesthouseforrent