Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 60,000,000

Maelezo

🏡✨ VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MAGUFULI ZONE ✨🏡

📐 SQM 566 + 566 = 1,132
💰 Bei: Milioni 60 (kwa eneo lote SQM 1,132)

📍 Mita 500 tu kutoka Stendi ya Daladala Mbezi Magufuli
🛣️ Vinagusa barabara kubwa ya mtaa (inayotarajiwa kuwekwa lami)

🏢 Panafaa kwa apartments
🏠 Au makazi binafsi

📄 Hati ya Wizara ipo
➡️ Baada ya wateja kupatikana, hati itasurrender na kila mteja atapata hati yake

💼 Viewing fee: 30,000/=

📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890
📲 Instagram: dalaliwakishua

🌟 “Miliki Kesho Yako Leo!!!” 🌟