Viwanja vinauzwa Mbezi Msumi, Dar Es Salaam sqm 400

Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Eneo hili lipo mbezi msumi wilaya ya ubungo Lina viwanja vitatu vya 20 kwa 20 (sqm 400)kimoja kimeshika barabara ya mtaa bei ni milioni 25 maongezi na vya nyuma ni milioni 22 maongezi yapo umeme ndiyo huo 0714539608















