Viwanja vinauzwa Mji Mwema Kibugumo, Dar Es Salaam (300 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 MRADI MPYA WA VIWANJA – KIGAMBONI, MJI MWEMA KIBUGUMO! 🔥
Je, unatafuta kiwanja kwa bei nafuu katika eneo lenye ukuaji mkubwa? Hii ndiyo fursa yako!
✅ Bei maalum: Milioni 17.5 tu
✅ Ukubwa wa viwanja: Kuanzia SQM 300 na kuendelea
✅ Eneo zuri, salama na lenye mipango mizuri ya makazi
✅ Takribani km 1 kutoka barabara ya lami
✅ Takribani km 9 kwenda Ferry na Daraja la Kigamboni
✅ Karibu na Kibada
✅ Huduma zote za kijamii zinapatikana: shule, hospitali, umeme, maji na usafiri
✅ Mitaa imepangika vizuri na ni eneo bora kwa makazi au uwekezaji. (Lands Tanzania)
📞 Wasiliana nasi:
💰 Service Charge: TSh 30,000
📲 Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















