Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma

video thumbnail
Sh. 4,000,000

Maelezo

Je wewe ni mmoja wapo bado unateseka kupata viwanja vya mjini..?
chagile real estate company ni mabigwa na wazoefu wa hizi kazi zaidi ya miaka mitano.
Tunakuletea Miradi yetu ya kisemvule mjini na vikindu mjini msimu huu wa ofa yakufunga mwaka na kufungua mwaka 2026.

Miradi yetu ya viwanja ni Kama ifuatavyo.
1] MRADI WA KISEMVULE MJINI UTUNGE.
km Moja TU kutoka lami.
Bei ya kiwanja million 5.6 Tu
Malipo kwa awamu mbili au Cash.
Ni viwanja vizuri kujenga apartment, makazi na biashara.
2]MRADI WA KISEMVULE MJINI NJIA PANDA YA KIBAMBA.
Mradi upo nusu km kutoka Lami.
Bei ya kiwanja million 4 Tu
Malipo kwa awamu mbili au Cash
Njoo ujenge apartment au makazi ya kuishi.
3] MRADI WA VIKINDU VIANZI MJINI.
Mradi upo km 4 kutoka lami.
Bei ya kiwanja million 3.3 TU
Malipo kwa awamu mbili au cash.
4] MRADI WA VIANZI CHANG'OMBE MJINI.
mradi upo km 5 Tu kutoka Lami.
Bei kiwanja million 2.6 Tu
Viwanja vizuri kwa makazi
Malipo kwa awamu mbili au cash.
KUMBUKA.
Ukubwa wa viwanja vyetu kuanzia sqm 200,400,600,1000 nakuendelea.
Malipo cash au kidogo kidogo
Huduma za kijamii zipo kama maji, umeme, shule, hospital zinapatikana.
Kwenda site ni kila siku.
OFISI ZETU ZIPO VIKINDU VIANZI.
Tupigie simu au Whatsapp.
0654773967
Ardhi ni akiba kwa maendeleo ya Sasa na yabadaye.

chagile_real_estate_tz
chagile_real_estate_tz
#viwanjakigamboni
#viwanjavikindu
#realestate
#simbasc

Similar items by location

Nyumba inauzwa Mjini, Ruvuma
  • 400sqm

Sh. 120,000,000

NYUMBA INAUZWA IKO MJINI-TOWNKWA WASIOFAHAMU AREA E(IKO JIRANI NA SUMMIT HOTEL MORO-DASLAAM)________...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma
  • 1407sqm

Sh. 20,000,000

*KIWANJA KINAUZWA MICHESE TANESCO DODOMA MJINI* 👉🏼SQM 1,407 Ukubwa Block ZG👉🏼Bei 20milion Document s...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma
  • 800sqm

Sh. 12,000,000

kiwanja hiki kipo makunganya kabla ya kufika kwenye sheli ya engine,kimepimwa na kina hati miliki,uk...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 250,000 per month

🏠 APARTMENT YA KODI – SINGIDA📍 Mahali: Mjini – karibu na stand ya mabasi✔️ Vyumba 3 vya kulala (kimo...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma
  • 833sqm

Sh. 500,000

Plot For Sale ✅🇹🇿Dodoma Mjini Ngongonha Ringroad, Jirani Na Wanapojenga Shule Ya Ma-Sister⬛️Square m...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 17,000,000

*VIWANJA VIWILI VILIVYOUNGANA VINAUZWA MICHESE CENTER* 👉🏼SQM 2282 & 2,467BLock ZN👉🏼Bei 17milion kila...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma
  • 620sqm

Sh. 78,000,000

*KIWANJA KIZURI CHA KWANZA LAMI CHIDACHI DODOMA MJINI *Umbali wa Kilometer 6 tu kutoka katikati ya ...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma
  • 1600sqm

Sh. 8,500,000

📢 NAUZA KIWANJA – SOMOKO, SINGIDA MJINI📏 Ukubwa: SQM 1600 (40×40)⚡ Umeme na maji vipo karibu🛣️ Barab...

Viwanja (Residential/Commercial) vinauzwa Nghong’onha, Dodoma (300 sqm)
  • 300sqm
  • By Installment
  • Residential
  • Project

Sh. 12,000 per sqm

Viwanja Dodoma Mjini – Eneo la Nghong’onha 📌 Km 9 tu kutoka katikati ya mji wa Dodoma🚄 Km 5 kutoka S...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma
  • 418sqm

Sh. 11,000,000

Kiwanja kizuri kinauzwa Dodoma Mjini🏡 Kiwanja kizuri sana – Corner Plot📍Km 5 kutoka Dodoma mjini 📐 S...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 6,000,000

MRADI MPYA WA VIWANJA VYA MJINIViwanja vipo sehem nzuri sana Ukubwa wa eneo 13×15Bei 6,000,000/=Loca...

Kiwanja kinauzwa Mamise, Singida sqm 1800
  • 1800sqm
  • By Installment

Sh. 10,000,000

📢 KIWANJA KINAUZWA – MAMISE (SINGIDA MJINI)• Ukubwa: 20 × 90 (SQM 1800)• Bei: Milioni 10 tu• Malipo:...

Kiwanja kinauzwa Mamise, Singida sqm 1800
  • 1800sqm
  • By Installment

Sh. 10,000,000

📢 KIWANJA KINAUZWA – MAMISE (SINGIDA MJINI)• Ukubwa: 20 × 90 (SQM 1800)• Bei: Milioni 10 tu• Malipo:...

Frame ya Biashara inapangishwa Barabara Ya Kumi, Dodoma

Sh. 150,000 per month

FLEM NZURI INAPANGISHWA DODOMAMJINI 💈 Flem Nzuri Inapangishwa ⚜️ Mahali 👉 Barabara Ya Kumi ( Dodoma...

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Wajenzi, Dodoma
  • Residential

Sh. 170,000 per month

𝗔𝗣𝗣𝗔𝗥𝗧𝗠𝗘𝗡𝗧𝗦 𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗦𝗔𝗔NA INAPANGISHWAMAHALIWAJENZI (Karibu mno na mjini)MUUNDO🪟CHUMBA🍴JIKO🚽CHOO🕊️HUDUM...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mpamaa, Dodoma (605 sqm)
  • 605sqm
  • By Installment
  • Residential

Sh. 180,000,000

IMESHUKA BEINYUMBA NZURII SANAA NA YA KIFAHARIINAUZWA MPAMAA DODOMA MJINIINA VYUMBA 3 VYOTE SELF/MAS...

Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Uhindini, Dodoma (929 sqm)
  • 929sqm

Sh. 3,000,000,000

*KIWANJA KIZURI KUNA JENGO LA KUBOMOA KINAUZWA 👑 UHINDINI DODOMA MJINI* - UHINDINDI NI MJINI KABIS...

Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Uhindini, Dodoma (929 sqm)
  • 929sqm

Sh. 3,000,000,000

*KIWANJA KIZURI KUNA JENGO LA KUBOMOA KINAUZWA 👑 UHINDINI DODOMA MJINI* - UHINDINDI NI MJINI KABIS...

Viwanja (Residential/Commercial) vinauzwa Nghong’onha, Dodoma (300 sqm)
  • 300sqm
  • By Installment
  • Residential
  • Project

Sh. 12,000 per sqm

Viwanja Dodoma Mjini – Eneo la Nghong’onha 📌 Km 9 tu kutoka katikati ya mji wa Dodoma🚄 Km 5 kutoka S...

Viwanja (Residential/Commercial) vinauzwa Nghong’onha, Dodoma
  • By Installment
  • Residential
  • Project

Sh. 12,000 per sqm

Viwanja Dodoma Mjini – Eneo la Nghong’onha 📌 Km 9 tu kutoka katikati ya mji wa Dodoma🚄 Km 5 kutoka S...