Viwanja vinauzwa Mwasonga, Dar Es Salaam (400 sqm)




Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
2.5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
KIGAMBONI MWASONGA
ANZA NA 560,000 tsh TU 🔥🔥🔥
🔑 Sifa za Mradi
👉25km kutoka ferry kivukoni
🔹Umbali wa 2.5km tu kutoka barabara kuu mpaka site.
🔹Barabara nzuri na za kufikika kwa urahisi.
🔹Eneo lenye makazi ya watu tayari.
🔹Mji unaokua kwa kasi na kuongezeka kwa thamani ya ardhi kila siku.
✅ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana karibu:
💰 Bei
🔹 Malipo ya CASH
• Bei: 23,000/= kwa sqm
• Kiwanja cha sqm 400
400 x 23,000 =9,200,000
• Unaweza kulipa kwa mkupuo au kwa miezi 3:
➡️ 3,066,667 kila mwezi
🔹 Malipo ya INSTALLMENT
• Bei: 28,000/= kwa sqm
• Kiwanja cha sqm 400
400 x 28,000=11,200,000
• unalipa kwa miezi 20 ya awali
•
➡️ 560,000 kila mwezi







