Viwanja vinauzwa Njia Panda, Kilimanjaro

video thumbnail
Sh. 1,600,000

Maelezo

VIWANJA KISEMVULE( NJIA PANDA YA KIBAMBA BEI NAFUU MNO)

Kisemvule ipo mbele ya mbagala, mkoa wa pwani

Viwanja vipo km 2.5 kutoka lami

Gharama ya usafiri kutoka stendi ya kisemvule hadi site ni TSH 1000 tu

Ukubwa wa kiwanja ni Ft 50x40 bei inaanzia tsh 1,600,000 tu

Unaweza kulipa kidogo kidoog anza na mil 1 iliyobaki utalipa miezi 3

Umeme na maji vyote vimefika site

Kutembelea site ni siku zote za wiki hakuna gharama

Ofisi zetu zipo KISEMVULE

Piga simu 0785367831
Whatsapp 0769355987