Viwanja vinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 VIWANJA VINAUZWA – TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKI🔥
Fursa adhimu kwa makazi au uwekezaji!
📍 Vinapatikana viwanja 3:
✅ Viwanja 2 vyenye ukubwa wa SQM 800 kila kimoja – TSh Milioni 65 kila kimoja.
✅ Kiwanja 1 chenye ukubwa wa SQM 650 – TSh Milioni 35.
🏡 Vinakufaa kujenga nyumba ya makazi yenye nafasi ya kutosha, au nyumba za biashara kwa uwekezaji wenye tija.
🤝 Kwa mteja aliye tayari kufanya biashara, bei inaweza kujadiliwa.
💰 Malipo ya udalali ni 10% tu.
Karibu ndugu mteja, njoo uone site ili ujiridhishe na tukamilishe biashara. Hii ni nafasi nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
📞 Wasiliana: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















