3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 500,000

NYUMBA KUBWA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA NA ZIPO NYUMBA MBILI TUU NA ZIPO MBALI MBALI NA HII KUBWA NDIO INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6

ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 05/04/2025 KUONA NDANI RUKSA KABISA ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO

APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 3 VIKUBWA VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA SANA
#DINNING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#PUBLIC TOILET
#CHUMBA CHA KUJISOMEA
#AIR- CONDITION
#GARDEN

BEI NI 500,000/= X 6

BILA KUSAHAU PESA YA TAHADHARI (CAUTION MONEY) AMBAYO ITAKWATA HELA YA MWEZI MMOJA NDANI YA MALIPO YA MIEZI 6 KWAHIYO ITAHESABIKA MIEZI 5

💫💫 APARTMENT HII IPO KIMARA MWISHO UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 1.5 USAFIRI NI BAJAJI, DALADALA AU BODABODA NA NYUMBA IPO MTAA MZURI SANA NDUGU MTEJA

KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA

DALALI MAKINI UBUNGO RIVERSIDE
dalali_makini_ubungo_riverside
DALALI MAKINI UBUNGO RIVERSIDE

Similar items by location

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

APARTMENT MPYA NZURI SANA YA KISASA SANA 🔥 🔥INAPANGISHWA NA IPO MTAA MZURI SANABEI NI 1,000,000/= ...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

🚨🔥#APARTMENT # INAPANGISHWA➖➖➖➖➖📍Kimara korogwe 🕑Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 3 ...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

(300,000X. ,6. KIMARA STOP OVA DK 5 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD. ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖SOMA KWA MAKINI HAPA....

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

🚨🔥#APARTMENT # INAPANGISHWA➖➖➖➖➖📍Kimara korogwe 🕑Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 3 ...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISWA KODI 350,000X6 LOCATION KIMARA KOROGWE MWENDO KASI DAKIKA 5 KU...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

🚨🔥#APARTMENT # INAPANGISHWA➖➖➖➖➖📍Kimara korogwe 🕑Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 3 ...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 210,000

NYUMBA YA KUPANGISHA KIMARA MWISHO ......PIGA SIMU CHUMBA SEBLEE CHOO NA JIKOKODI LAKI MBILI NA KUMI...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

🇹🇿 APARTMENT #INAPANGISHWAPiga cm 0677445508📍kimara korogwe 🕑Dakika 10 Kutembea kutoka kituo ch...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

Apartment Classic For Rent ✨️ Location: KIMARA KOROGWE KILUNGULE Distance: KM 1,Kutoka Morogoro Road...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISWA KODI 350,000X6 LOCATION KIMARA KOROGWE MWENDO KASI DAKIKA 5 KU...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT 4 NDANI YA FENCE MOJA MPYA KABISA ZINA PANGISHWA NA IMEBAKI MOJA TU KIMARA STOP OVER DKK...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

APARTMENT MPYA NZURI SANA YA KISASA SANA 🔥 🔥INAPANGISHWA NA IPO MTAA MZURI SANABEI NI 1,000,000/= ...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 250,000/= X 6 MTEJA MPYA ANATAK...

Plot for sale at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

KIWANJA KIZURI KIKUBWA SANA KINAUZWA HAPA KIMARA SUKAUMBALI KM 1.5 TOKA LAMIKINA SQUARE MITA 800BEI ...