House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


APARTMENT INAPANGISHWA KIMARA MWISHO KODI150kX 4👈
Chumba Cha kulala
Sebule nzuri
Jiko zuri
Choo public ndani
Bei:150,000 x 4...ila kuna dopozit ya maji taka 40..ilipwe kwa awamu ya kwanxa tu
Inajitegemea umeme, maji Dawasco yanaflow chooni na jikoni
Umbali KM 2. 5 Bajaji zipo toka kimara mwisho au kimara suka
bajaji 700👈
bodaboda 1000👈
Ndani ya fence parking hakuna
Kupelekwa kwenye Nyumba elfu 15 itadumu mpaka Upate bila kuchajiwa Tena
MAWASILIANO 0656623510
WSP 0752436347