3 Bedrooms House for sale at Chamazi, Dar Es Salaam


NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA
π Chamazi, Temeke - Dar es Salaam
BEI: Milioni 80
π Simu/WhatsApp: +255 686 705 903
ββββββββββββββ
SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 3 vya kulala (1 ni Master Bedroom)
β
Sebule kubwa ya kisasa
β
Jiko la kisasa lenye nafasi ya kutosha
β
Choo cha wageni (Public Toilet)
β
Umeme na maji vipo
β
Dakika chache tu kutoka barabara kuu
β
Eneo ni tulivu, salama, na rafiki kwa familia
β
Nyumba ni mpya, haijawahi kukaliwa
β
Imezungushiwa Electric Fence.
β
Ukubwa wa ni Sqm 400.
βββββββββββββ
π² Wasiliana Nasi Sasa:
Simu/WhatsApp: +255 686 705 903