3 Bedrooms House for Sale in Kibaha Kwa Mathias, Pwani

Description
NYUMBA NZURI SANA KARIBU NA BARABARA INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH 47M TU.
==========
π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π»Jiko
π» Public toilet
π»Ina jiko jingine la nje
__________________
π° BEI MILIONI 47 tu
==========
βοΈ Unatembea dk 3 tu kutoka stand unaingia kwako
π Nyumba ipo kwenye barabara ya mtaa
βοΈ Nyumba ina uzio
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















