Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani



Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI SANA KARIBU NA BARABARA INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH 47M TU. ========== π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Kimoja ni Master π»Sebule kubwa π»Jiko π» Public toilet π»Ina jiko jingine la nje __________________ π° BEI MILIONI 47 tu ========== βοΈ Unatembea dk 3 tu kutoka stand unaingia kwako π Nyumba ipo kwenye barabara ya mtaa βοΈ Nyumba ina uzio ========== βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k ========== Call/WhatsApp: #0714972994















