Search

Shop for Sale in Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 20,000,000

Description

🛍️ DUKA LA NGUO ZA WATOTO LINAUZWA – SINZA 🛍️

📍 Eneo zuri la biashara lenye wateja wa kudumu.

💰 Bei: TSh 20,000,000 (maongezi yapo)

🏪 Kodi ya fremu: TSh 500,000 kwa mwezi
✅ Kodi imelipiwa miezi 6 – unaanza biashara bila gharama ya kodi kwa sasa.

✨ Fursa nzuri kwa anayehitaji kuendelea na biashara ya nguo za watoto katika eneo lenye mzunguko mzuri wa wateja.

📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kuja kuliona duka.

Similar properties in Sinza, Dar Es Salaam