Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni - Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 75,000,000

Description

KIBUGUMO πŸ”₯🏑

πŸ’Ž FURSA NZURI YA KUMILIKI BOMA KATIKA ENEO ZURI!

Boma linauzwa Kigamboni – Kibugumo likiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira mazuri. Boma lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua, hivyo mnunuzi ana nafasi ya kulimalizia kwa mtindo anaoupenda.

✨ SIFA ZA BOMA:
βœ… Vyumba 4
βœ… Chumba 2 Master
βœ… Sebule
βœ… Dining
βœ… Jiko
πŸ—οΈ Lipo kwenye hatua ya finishing ya kupaua
πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 700
πŸ“„ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa

πŸ“ UMBALI:
πŸš— Kilomita 1 kutoka barabara
⛴️ Kilomita 7 kutoka Ferry
πŸŒ‰ Kilomita 8 kutoka Kigamboni Darajani

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 75
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ FURSA YA KIPEKEE:
Unapata boma lenye vyumba 4 kwenye kiwanja cha SQM 700, kisha unalimalizia kwa design na finishing unayoipenda.

πŸ“ž
πŸ“Service charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Dalali Kigamboni mbavu

dalali__kigamboni_mbavu

@dalali__kigamboni_mbavu

View Listings

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

Dalali Kigamboni mbavu